Daktari wa Mchezo wa ngumi, Josefu Magesa akiwapima mabondia watakaoshiriki mashindano ya kova Cup yaliyoanza Dar es salaam leo katika ukumbi wa PR hotel zamani IMASCO CENTER mashindano hayo ya siku mbili yanamalizika kesho. (Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Serikali Yaendelea Kuimarisha Malezi Bora ya Watoto na Kuzuia Vitendo vya
Ukatili
-
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt.
Dorothy Gwajima, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam
leo Des...
13 minutes ago

No comments:
Post a Comment