Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Julius Ningu, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo, kuzungumzia maandalizi ya Mkutano wa 17 wa Nchi zilizoridhia mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya Tabia nchi unaotarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu Durban Afrika ya Kusini. Kushoto ni, Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais, anayeshughulikia mabadiliko ya Tabianchi, Richard Muyungi
Tanzania Yazindua Matokeo ya Tathmini ya Kitaifa ya Hatari za Mabadiliko ya
Tabianchi
-
Serikali kupitia Ofisi ya Rais – TAMISEMI, kwa kushirikiana na Shirika la
Mitaji ya Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNCDF) kupitia Programu ya LoCAL,
n...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment