Bondia Mussa Mohamedi (kulia) akichapa na kuoneshana ufundi wa kutupa makonde na John Christian wakati wa mashindano ya Kova Cup Dar es salaam jana. Mussa alishinda kwa point. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
16 hours ago
No comments:
Post a Comment