Mshambuliaji wa timu ya Taifa 'Taifa Stars' Mbwana Samatta, akimtoka beki wa Chad, Sylvain Doubam, wakati wa mchezo marudiano kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, mpaka hivi sasa bado ni droo na mpira ni mapumziko ukitarajiwa kuanza kipindi cha pili baada ya dakika chache zijazo.
KATIBU TAWALA ARUSHA APONGEZA MATUMIZI YA MFUMO WA SCADA KATIKA KUDHIBITI
UPOTEVU WA MAFUTA
-
Dodoma
Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dkt. Toba Nguvila, amepongeza matumizi ya
mfumo wa kisasa wa Supervisory Control and Data Acquisition (SCADA)
una...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment