Mshambuliaji wa timu ya Taifa 'Taifa Stars' Mbwana Samatta, akimtoka beki wa Chad, Sylvain Doubam, wakati wa mchezo marudiano kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, mpaka hivi sasa bado ni droo na mpira ni mapumziko ukitarajiwa kuanza kipindi cha pili baada ya dakika chache zijazo.
NAIBU WAZIRI MAKONDA AWASILI MOROCCO KUIPA MORALI TAIFA STARS
-
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda
amewasili nchini Morocco kwa lengo la kuipa nguvu na kuongeza morali kwa
Timu ya ...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment