GYM ya Zugo iliyopo Ilala jijini Dar es Salaam, imeendelea kutoa mafunzo kabambe na mazoezi kwa vijana wanaopenda mchezo wa ngumi, ikiwa ni sehemu ya kuandaa vijana watakaorithi mchezo huo na kuliletea sifa Taifa la Tanzania katika Medani za mchezo wa ngumi. Pichani ni mwalimu wa mchezo huo, akimpa maelekezo kijana jinsi ya kutupa konde na kujihami.
WAZIRI WA ARDHI DKT AKWILAPO AKUTANA NA RC MTWARA
-
Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo leo
tarehe 22 Desemba 2025 amekutana na kufanya m...
17 minutes ago

No comments:
Post a Comment