Mtandao huu wa Sufianimafoto unayo furaha kubwa kuwatakia heri na fanaka wafanyakazi na viongozi wote wa Clouds Media kwa kutimiza miaka 12 tangu kuanzishwa kwa kituo cha kurushia matangazo ya Redio na sasa Clouds TV. Hongereni sana wana wa Clouds Ujumbe wangu ni Leweni Kazi, Msilewe Sifa, chapeni kazi.
ANTHONY GODFREY MARIKI : PROGRAMU YA BARRICK YA KUWEKEZA KATIKA KIZAZI
KIJACHO CHA WATAALAMU WA SEKTA YA MADINI INA MANUFAA MAKUBWA KWA TAIFA
-
Anthony Mariki , katikati akipokea ufadhili wa kwenda kusoma chuo Kikuu cha
Johannesburg Afrika kusini , Shahada ya Uhandisi wa Madini , kulia Makamu
Mkuu...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment