Mtandao huu wa Sufianimafoto unayo furaha kubwa kuwatakia heri na fanaka wafanyakazi na viongozi wote wa Clouds Media kwa kutimiza miaka 12 tangu kuanzishwa kwa kituo cha kurushia matangazo ya Redio na sasa Clouds TV. Hongereni sana wana wa Clouds Ujumbe wangu ni Leweni Kazi, Msilewe Sifa, chapeni kazi.
JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA DAR ES SALAAM YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA
KAZI ZA KIJAMII TEMEKE
-
Dar es Salaam 02 Februari, 2026
Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam leo
tarehe 02 Februari, 2026, imeungana na wanaCCM n...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment