Mtandao huu wa Sufianimafoto unayo furaha kubwa kuwatakia heri na fanaka wafanyakazi na viongozi wote wa Clouds Media kwa kutimiza miaka 12 tangu kuanzishwa kwa kituo cha kurushia matangazo ya Redio na sasa Clouds TV. Hongereni sana wana wa Clouds Ujumbe wangu ni Leweni Kazi, Msilewe Sifa, chapeni kazi.
Rais Dkt. Samia awasili Jijini Moscow nchini Urusi kwa ajili ya Ziara ya
Kitaifa.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa
amesimama wakati akipokea heshima ya wimbo wa Taifa mara baada ya kuwasili
...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment