Kocha Mkongwe wa Mchezo wa ngumi, Habibu Kinyogoli (kulia) akiwaelekeza mabondia Ubwa salumu na Abuu Mtambwe jinsi ya kutupa Masumbwi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika Kambi ya Ilala kwa ajili ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika kabla ya mchezo kati ya Matumla na Osward, Desemba 25. Picha na R. Mhamila
KAPINGA: TAASISI ZIFANYE TAFITI BUNIFU ILI KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
-
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), amezisisitiza
taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kufanya tafiti zenye tija ili kuongeza
ajira kwa ...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment