Kocha Mkongwe wa Mchezo wa ngumi, Habibu Kinyogoli (kulia) akiwaelekeza mabondia Ubwa salumu na Abuu Mtambwe jinsi ya kutupa Masumbwi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika Kambi ya Ilala kwa ajili ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika kabla ya mchezo kati ya Matumla na Osward, Desemba 25. Picha na R. Mhamila
MUDA WA KUPOKEA KAZI ZA TUZO ZA SAMIA KALAMU WAONGEZWA SIKU 14
-
KAMATI ya Maandalizi ya Mashindano ya Samia Kalamu Awards (SKA) 2026,
imetangaza kuongeza muda wa kupokea kazi za kushindanishwa kwa siku kumi na
nne ...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment