Mwanamume mmoja raia wa Italia alifyatua risasi katika maeneo mawili ya soko na katikati mwa mji wa Florence,na kuwaua wafanyabiashara wawili raia wa Senegal pamoja na kuwajeruhi watu wengine watatu.
Tanzania yaendelea kuwa Shule ya Utumishi Barani Afrika, Ridhiwani Kikwete
awapokea Wasomali 25
-
Na: Jawadu Kinyobwa
Tanzania imezidi kujiimarisha kama kitovu cha mafunzo utawala bora barani
Afrika baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti y...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment