Mwanamume mmoja raia wa Italia alifyatua risasi katika maeneo mawili ya soko na katikati mwa mji wa Florence,na kuwaua wafanyabiashara wawili raia wa Senegal pamoja na kuwajeruhi watu wengine watatu.
Serikali wilayani Rufiji imeanza kugawa viwanja vya makazi 600 vilivyopimwa
bure
-
Ikiwa imepita zaidi wiki kadhaa tangu wananchi waishio wiliya ya Rufiji
Mkoa wa Pwani kukumbwa na mafuriko ya maji hali iliyopelekea kupoteza
makazi yao ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment