Rais Jakaya Kikwete, akiwakabidhi Bw. Clement A. Chagula na bintiye Olivia A. Chagula, medali kwa niaba ya baba na babu yao Marehemu Dkt. Wilbert Chagula, ambaye aikuwa ni mmoja wa mawaziri katika serikali ya awamu ya kwanza na mmoja wa watu maarufu waliotunukiwa nishani katika kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru. Bw Chagula, ambaye ni mtoto wa marehemu, hakuweza kufika Dar es salaam kupokea medali hiyo na Rais alipokuwa Kampala akatumia nafasi hiyo kumpatia leo asubuhi katika hoteli ya Speke Commonwealth Resort.
KAMPUNI YA RADDY ENERGY YA TANZANIA KUNUNUA MITAMBO YA UZALISHAJI UMEME
KUTOKA KAMPUNI YA SIEMENS YA USWIDI
-
*Balozi wa Tanzania nchini Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi (wa nne kutoka
kushoto mstari wa mbele), akiwa pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Raddy
Energ...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment