Huyu ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa kike wa Shule ya Sekondari Manzese, wakati alipowatembelea jana na kukuta wakijisomea huh wakiw wamekaa chini. Hii ni Sekondari na si Msingi, Je mzazi anayelipa ada kwa mwanawe anayesoma shule hii anajisikiaje?
Kampuni Ya Airtel Tanzania Imewataka Wanavyuo Nchini Kutumia Fursa ya
Kimtandao
-
KAMPUNI ya ya Airtel Tanzania imewataka wanavyuo nchini kutumia fursa ya
kimtandao katika kuwasaidia kuboresha taaluma zao pindi wawapo vyuoni.
Hayo yam...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment