Bondia Rashid Matumla, akiwa katika mazoezi kujiandaa na pambano lake lisilo la ubingwa dhidi ya Maneno Oswald, ‘Mtambo wa Gongo’, linalotarajia kufanyika Februari 25 mwaka huu katika Ukumbi wa PTA Sabasaba, baada ya pambano lao lililopita kutoka sare kwa Pointi 99-99.
TASAC YAFANYA KIKAO NA WADAU WAJENZI MELI MWANZA
-
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 7 Mei, 2026
limefanya kikao na wadau wa ujenzi wa meli jijini Mwanza kwa lengo la
kuhamasisha u...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment