Bondia Rashid Matumla, akiwa katika mazoezi kujiandaa na pambano lake lisilo la ubingwa dhidi ya Maneno Oswald, ‘Mtambo wa Gongo’, linalotarajia kufanyika Februari 25 mwaka huu katika Ukumbi wa PTA Sabasaba, baada ya pambano lao lililopita kutoka sare kwa Pointi 99-99.
MWAKINYO AMCHAPA MNIGERIA KWA KO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
BONDIA wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi
wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mnigeria,...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment