Bondia Rashid Matumla, akiwa katika mazoezi kujiandaa na pambano lake lisilo la ubingwa dhidi ya Maneno Oswald, ‘Mtambo wa Gongo’, linalotarajia kufanyika Februari 25 mwaka huu katika Ukumbi wa PTA Sabasaba, baada ya pambano lao lililopita kutoka sare kwa Pointi 99-99.
MOROCCO NJE, GAMONDI NDANI
-
Na Rahel Pallangyo
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesitisha mkataba na Kocha Mkuu wa
Taifa Stars, Hemed Ali Suleiman 'Morocco'.
Taarifa ya TFF ime...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment