Kituo cha Daladala cha Kibaha Maili Moja kikiwa kimeegemea upande wa nyuma kikikaribia kabisa kuanguka jambo ambalo li hatari kwa abiria wanaokaa katika kituo hicho kusubiria usafiri. Haikuweza kufahamika chanzo cha vituo hivi kuharibika na kubomoka taratibu na kisha mwisho wa siku unakikuta hakina kabisa mabati wala vyuma vinavyokisapoti kusimama. Wahusika wekeni mikakati ya kuwanasa waharibifu wa miundombinu hii.
TPA YACHUKUA HATUA MBALIMBALI UBORESHAJI MIUNDOMBINU,KUONGEZA UFANISI
BANDARINI.
-
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) imechukua hatua mbalimbali
ikiwemo uboreshaji wa Miundombinu, kusimika mifumo bora ya TEHAMA na
kushirikish...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment