Kituo cha Daladala cha Kibaha Maili Moja kikiwa kimeegemea upande wa nyuma kikikaribia kabisa kuanguka jambo ambalo li hatari kwa abiria wanaokaa katika kituo hicho kusubiria usafiri. Haikuweza kufahamika chanzo cha vituo hivi kuharibika na kubomoka taratibu na kisha mwisho wa siku unakikuta hakina kabisa mabati wala vyuma vinavyokisapoti kusimama. Wahusika wekeni mikakati ya kuwanasa waharibifu wa miundombinu hii.
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO KAZI KUHUSU UJENZI WA MIRADI YA BARABARA ZA
HARAKA KWA UBIA WA MFUMO WA PPP
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha
kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa ubia
kup...
27 minutes ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment