Mchungaji Ambilikile Masapila 'Babu kikombe' akiwa na mmoja wa wadau wake Mpigapicha wa Gazeti ya Changamoto, Albert Jackson, alipomtembelea katika ofisi zake zilizopo katika kijiji cha Semunge Loliondo. Hivi sasa babu yupo katika mchakato wa kujenga kituo kikubwa ambacho kitakuwa na uwezo wa kuhudumia wananchi wengi kwa wakati mmoja.
WIZARA YA MAWASILIANO YAKABIDHI KOMPYUTA 30 OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed
Khamis Abdulla, amekabidhi kompyuta mpakato (laptop) 3...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment