Mchungaji Ambilikile Masapila 'Babu kikombe' akiwa na mmoja wa wadau wake Mpigapicha wa Gazeti ya Changamoto, Albert Jackson, alipomtembelea katika ofisi zake zilizopo katika kijiji cha Semunge Loliondo. Hivi sasa babu yupo katika mchakato wa kujenga kituo kikubwa ambacho kitakuwa na uwezo wa kuhudumia wananchi wengi kwa wakati mmoja.
WAZIRI SANGU ATETA NA VIONGOZI WA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE (CPCT)
-
Na: OWM – KAM, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa
Deus Clement Sangu(Mb.), amekutana na kufanya mazu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment