Kwa kawaida Ofisi yeyote maalum iliyo na iliyo na siliasi katika kazi zake nazani hata katika kazi zake pia inatakiwa iwe siliasi katika matangazo yake ama maelekezo yake. Sasa tangazo kama hili linalotangaza Ofisi muhimu kama hii na ukakuta limeandikwa kwa mkaa ama kalamu ya Maka Pen je Mdau utaamini kufika katika ofisi kama hii ili utimiziwe shida zako? Bango hili kama lilivuokutwa na kamera ya sufianimafoto katika eneo la Kilimani mjini Dodoma leo.
TANZANIA NA KENYA ZASANII MKATABA WA VYETI VYA MABAHARIA NA NA USHIRIKIANO
WA USAFIRI WA MAJINI
-
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania na Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri wa
Majini nchini Kenya wamesaini mkataba wa utambuzi wa vyeti vya mabaharia na
...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment