Kwa kawaida Ofisi yeyote maalum iliyo na iliyo na siliasi katika kazi zake nazani hata katika kazi zake pia inatakiwa iwe siliasi katika matangazo yake ama maelekezo yake. Sasa tangazo kama hili linalotangaza Ofisi muhimu kama hii na ukakuta limeandikwa kwa mkaa ama kalamu ya Maka Pen je Mdau utaamini kufika katika ofisi kama hii ili utimiziwe shida zako? Bango hili kama lilivuokutwa na kamera ya sufianimafoto katika eneo la Kilimani mjini Dodoma leo.
Vijana tusihukumu tupambane kwani Utajiri si Miliki ya Vitu, ni Miliki ya
Akili
-
Katika ulimwengu wa leo wa Snapchat na Instagram, ambapo kila mtu anajaribu
kuonekana ana mafanikio kwa kumiliki iPhone ya hivi karibuni au kupiga
pic...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment