Msanii wa filamu nchini Simoni Mwapagata 'Rado' (wa pili kushoto) akitoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo juice na biskuti kwa watoto wa shule msingi ya Buguruni Viziwi, jijini Dar es salaam wakati alipowatembelea watoto hao jana. Msaada huo umetolewa na msanii huyo kwa kushirikiana na kampuni ya Steps Entatainment (kushoto) ni Ibrahim Mbena. Picha na Super D
TUTUBA: THAMANI YA FEDHA KUBAKI IMARA KUELEKEA KIPINDI CHA MAVUNO
-
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema thamani ya
fedha itaendelea kuwa imara kuelekea kipindi cha mavuno ili kuwawezesha
wakulima...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment