Msanii wa filamu nchini Simoni Mwapagata 'Rado' (wa pili kushoto) akitoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo juice na biskuti kwa watoto wa shule msingi ya Buguruni Viziwi, jijini Dar es salaam wakati alipowatembelea watoto hao jana. Msaada huo umetolewa na msanii huyo kwa kushirikiana na kampuni ya Steps Entatainment (kushoto) ni Ibrahim Mbena. Picha na Super D
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment