Msanii wa filamu nchini Simoni Mwapagata 'Rado' (wa pili kushoto) akitoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo juice na biskuti kwa watoto wa shule msingi ya Buguruni Viziwi, jijini Dar es salaam wakati alipowatembelea watoto hao jana. Msaada huo umetolewa na msanii huyo kwa kushirikiana na kampuni ya Steps Entatainment (kushoto) ni Ibrahim Mbena. Picha na Super D
TAFFA YAONGEZA MUDA WA KUPIGA KURA, USIKU WA TUZO KUTIKISA DAR
-
Kutokana na mwitikio mkubwa na shauku ya mashabiki wa filamu kote nchini,
Tuzo za Filamu Tanzania maarufu kama TAFFA zimeongeza siku mbili zaidi kwa
aji...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment