• Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Mazingira
  • Jamii
  • Siasa
  • Bunge
  • Habari Picha
  • Michezo
  • Burudani
SUFIANIMAFOTO

Habari za Punde

Home *COW BELL YADHAMINI MICHUANO YA NGUMI WILAYA YA TEMEKE

*COW BELL YADHAMINI MICHUANO YA NGUMI WILAYA YA TEMEKE

sufianimafoto Friday, March 16, 2012
 Katibu wa Chama cha mchezo wa ngumi Wilaya ya Temeke,  Ali Mchumila (katikati)  akimkabidhi flana ya wadhamini wa michuano ya ngumi ya Wilaya ya Temeke CAW BEll, Makamu mwenyekiti wa Mpira wa Kikapu Nchini , Phares Magesa, wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
 Bondia Harid Kibavu (kushoto) akichuana na Mahafudhi Swai, wakati wa pambano lao lililoandaliwa na Chama cha mchezo wa Ngumi Wilaya ya Temeke, Dar es salaam jana, Kibavu aliashinda Kwa Pointi.
 Mabondia Hamadi Omari na Thomas Son wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wakati wa mashindano yaliyoandaliwa na chama cha mchezo wa Ngumi TEMEKE. Picha na Super D
   Kocha wa Mchezo wa ngumi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' (kushoto) akimsindikiza Bondia Ibrahimu Class wa Kambi ya Amana kwa ajili ya kupanda jukwaani kucheza Jana.

 
  • Blog Comments
  • Facebook Comments

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

MATANGAZO MADOGO MADOGO

MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com

BLOGU RAFIKI

  • LENZI YA MICHEZO
    Tuwakatae kwa nguvu zote wachochezi wanaotaka kuturudisha Oktoba 29 - Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amewataka vijana kuendelea kulinda amani na utulivu wa nc...
    4 hours ago
  • JIACHIE
    WABUNGE WAIPONGEZA NSSF NA PSSSF KWA SKIMU YA WALIOJIAJIRI - Wabunge wameipongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii kupitia Skimu ya Hifadhi kwa Wana...
    9 hours ago
  • BIN ZUBEIRY
    UBELGIJI YAAMBULIA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA MISRI KOMBE LA DUNIA - TIMU ya Ubelgiji imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Misri katika mchezo wa Kundi G Fainali za Kombe la Dunia usiku huu Uwanja wa Lumen Field Jijini Seat...
    1 day ago
  • MICHUZI
    RC CHALAMILA AFANYA KIKAO KAZI NA WENYEVITI, WATENDAJI WA KATA NA MITAA DSM - -Atoa maagizo lukuki ya kuboresha Mkoa huo kuelekea AFCON 2027. -Ataka muonekano mzuri wa Jiji kwa kufanya usafi wa mazingira na kuondoa kabisa gereji ...
    1 day ago
  • MTAA KWA MTAA BLOG
    TUZO ZA MAKAMPUNI BORA 100 ZA CHAPA AFRIKA ZATAJWA KUCHOCHEA MAENDELEO SEKTA BINAFSI. - Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dennis Londo, amesema wazalishaji, wafanyabiashara na watoa huduma nchini ni nguzo muhimu katika maendeleo ya ...
    2 days ago
  • Wazalendo 25 Blog
    Uchumi : Rais Samia Aipa BOT Dira Mpya - Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameielekeza Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuongeza uwezo wa kuc...
    3 days ago
  • PAMOJA
    NBAA YATEMBELEA BAOBA INSTITUTE OF TANZANIA - Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea na jitihada zake za kuhamasisha na kuendeleza Taaluma ya Uhasibu nchini kwa k...
    3 days ago
  • LUKAZA
    TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew L...
    6 months ago
  • TZA
    Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini ke...
    1 year ago
  • BongoCelebrity
    - [image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio] Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio alt=”” class=”w...
    2 years ago
  • HABARI NA MATUKIO
    BODI YA MAJI BONDE LA KATI YAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA MAFURIKO KWENYE MAZIWA YA KINDAI, MUNANG NA SINGIDANI - * Mhandisi Rasilimali za Maji, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Moses Salumbi (kushoto), akiweka alama za ukomo wa maji ya mafuriko kwenye Maziwa ya Kindai na...
    6 years ago
  • Mzuka wa Fungo
    MSANII DIAMOND AZINDUA WIMBO WA COLOURS KWA AJILI YA KOMBE LA DUNIA 2018 NCHINI URUSI - Cathbert Kajuna To:amichuzi,othmanmichuzi,MUHIDIN MICHUZI,Geofrey Adroph Bcc:fungoomar@yahoo.com May 15 at 6:00 AM Msanii Diamond akipagawisha mashabiki wa...
    8 years ago
  • MTOTO WA KITAA
    RAIS JOHN MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA JCA NA BALOZI WA JAPAN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM - *Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) Bw. Shini...
    8 years ago
  • NASMAMAFOTO
    JOSE MOURINHO HAS REPORTEDLY 'SHOKED' SOME OF HIS MANCHESTER UNITED PLAYERS - *Jose Mourinho might have hoped for a longer honeymoon at Manchester United, but three defeats in a row, in the space of a week, have led to the first maj...
    9 years ago
  • Mbeya Yetu
    TIBA YA MAGONJWA YAKO NA MATATIZO MBALIMBALI SASA HII HAPA BEI NAFUU SOMA HAPA KWA MAKINI - Je? Unaumwa au unasumbuliwa na matatizo yoyote kiafya? Unahitaji msaada wa haraka, tuna virutubisho sahihi kuondoa magonjwa kama kisukari, presha, uvimb...
    9 years ago
  • Bongo Newz Corner
    DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE' - Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo ambal...
    11 years ago
  • NEW HABARI BLOGSPOT.COM
    SIMBA ILIPOWASHANGAZA MASHABIKI WA SOKA JANA,ILIPOCHOMOA MABAO 3 NA KULAZIMISHA SARE YA 3-3 - * Beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro', akiwania mpira na kipa wa Simba Abel Dhaira, wakati wa kipindi cha pili cha mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanza...
    12 years ago
  • Maisha Yetu
    -
  • MTANZANIA HALISI
    -
  • K-VIS BLOG
    -
  • Saluti5- Tanzania
    -

WALIOTEMBELEA BLOG HII

Followers

Labels

  • BUNGE
  • Burudani
  • HABARI PICHA
  • Habari
  • Michezo
  • Siasa

Zilizosomwa Zaidi

  • *CHEKA KIMTINDO NA MAPOZI YA PICHA, JE WEWE UNAPOZI VIPI?
    Haya ni mapozi tofauti tofauti ya kupigwa picha washkaji wamevunja mpaka basi kati kitaa fulani hivi. ...
  • WCF YAWAPIGA MSASA WAAMUZI, WASULUHISHI NA MAKATIBU MUHTASI KUTOKA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)
    Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala, Wizara ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bw.Peter Kalonga, (kushboto), akijadiliana jambo ...

SUFIANIMAFOTO Mafoto Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.