Hii ndiyo nyumba ama Bweni la wasichana wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Wasichana ya Mazae, iliyopo Wilayani Mpwapwa, ambayo kila mwanafunzi anayepanga katika jengo hili hulipa Sh. 10,000 kwa mwezi, sasa hali ya nyumba kama hii kama ni hivi je vipi suala zima la afya ikiwa ni pamoja na Choo na usalama wa wanafunzi hao na mali zao??, na kama mwanafunzi anapanga katika jengo hili na kulipa kiasi hicho cha fedha ni kwa nini asitokee tu nyumbani? HAPA WANAFUNZI HUJISOMEA KWELI USIKU? Picha kwa hisani ya gazeti la UHURU, kupitia Mdau Sophia Ashery
MWENGE WAHAMASISHA NISHATI SAFI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA, ,WAGAWA MITUNGI
40 RUFIJI
-
Mwamvua Mwinyi, Rufiji Aprili 26, 2026
Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya
nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, ma...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment