Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea
zawadi kutoka kwa Balozi wa Saudia
nchini Tanzania, Hani Abdullah Mo’minah, wakati alipomtembelea ofisini kwake
Ikulu Dar es Salaam leo, kwa ajili ya mazungumzo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Balozi wa Vatcan nchini Tanzania, Francisco Montecillo, wakati
alipomtembelea ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo, kwa ajili
ya mazungumzo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Ali Davutoglu, wakati
alipomtembelea ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo, kwa ajili
ya mazungumzo.
No comments:
Post a Comment