Matawi ya mti wa Mbuyu yakiwa yanazidi kukua na kutanda katikati ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la kituo cha daladala cha Mbuyuni, jambo ambalo ni hatari kwa waendesha magari hususan magari makubwa. HATA KAMA MBUYU NI KAZI KUKATWA BASI WAHUSIKA JITAHIDINI KUKATA HAYA MATAWI, ''Kinga ni Bora kuliko Tiba''.
CMSA yaipongeza Sanlam Allianz
-
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imeipongeza Sanlam Allianz
kwa kuanzisha Mfuko mpya wa 'USD Fixed Income Fund' utakaowaweze...
50 minutes ago
C.jpg)
No comments:
Post a Comment