Matawi ya mti wa Mbuyu yakiwa yanazidi kukua na kutanda katikati ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la kituo cha daladala cha Mbuyuni, jambo ambalo ni hatari kwa waendesha magari hususan magari makubwa. HATA KAMA MBUYU NI KAZI KUKATWA BASI WAHUSIKA JITAHIDINI KUKATA HAYA MATAWI, ''Kinga ni Bora kuliko Tiba''.
KAMPUNI YA RADDY ENERGY YA TANZANIA KUNUNUA MITAMBO YA UZALISHAJI UMEME
KUTOKA KAMPUNI YA SIEMENS YA USWIDI
-
*Balozi wa Tanzania nchini Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi (wa nne kutoka
kushoto mstari wa mbele), akiwa pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Raddy
Energ...
4 hours ago
C.jpg)
No comments:
Post a Comment