Matawi ya mti wa Mbuyu yakiwa yanazidi kukua na kutanda katikati ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la kituo cha daladala cha Mbuyuni, jambo ambalo ni hatari kwa waendesha magari hususan magari makubwa. HATA KAMA MBUYU NI KAZI KUKATWA BASI WAHUSIKA JITAHIDINI KUKATA HAYA MATAWI, ''Kinga ni Bora kuliko Tiba''.
Askofu Mwankenja ahimimiza watanzania kupiga kura Oktoba 29
-
Na Mwandishi Wetu
Askofu wa Kanisa la Furahini katika Bwana la jijini Dar es Salaam
Dkt.Ezekiel Mwankenja amesema kuwa Watanzania kujitokeza katika kupiga ...
5 hours ago
C.jpg)
No comments:
Post a Comment