Matawi ya mti wa Mbuyu yakiwa yanazidi kukua na kutanda katikati ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la kituo cha daladala cha Mbuyuni, jambo ambalo ni hatari kwa waendesha magari hususan magari makubwa. HATA KAMA MBUYU NI KAZI KUKATWA BASI WAHUSIKA JITAHIDINI KUKATA HAYA MATAWI, ''Kinga ni Bora kuliko Tiba''.
Kikundi cha Diamond Divas chawataka wanawake kuchangamkia fursa za uwekezaji
-
WITO umetolewa kwa wanawake nchini kuchangamkia fursa za uwekezaji katika
mifuko mbalimbali ya uwekezaji, Ili kufikia Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050
na...
6 hours ago
C.jpg)
No comments:
Post a Comment