Bondia Fransic Cheka (kushoto) akisaini mkataba wa makubaliano ya kupambana na Japhet Kaseba siku ya Sabasaba, ambapo itakuwa ni baada ya pambano lake na Mada Maugo linalotarajia kufanyika siku ya Jumamosi katika Ukumbi wa PTA jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mshauli wa Cheka, Oscar George na Promota wa mpambano huo Kaike Silaju (katikati) Picha na Super D
NSSF: Wananchi Waliojiajiri Jiungeni, Jiwekeeni Akiba kwa Kesho Yenye
Uhakika
-
Dar es Salaam, Julai 10, 2026
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri
nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo il...
14 hours ago
No comments:
Post a Comment