Bondia Fransic Cheka (kushoto) akisaini mkataba wa makubaliano ya kupambana na Japhet Kaseba siku ya Sabasaba, ambapo itakuwa ni baada ya pambano lake na Mada Maugo linalotarajia kufanyika siku ya Jumamosi katika Ukumbi wa PTA jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mshauli wa Cheka, Oscar George na Promota wa mpambano huo Kaike Silaju (katikati) Picha na Super D
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 7, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 7, 2024,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
keny...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment