Mshambiliaji wa timu ya Barcelona Fc, Lionel Messi, akipiga Penati wakati wa mchezo wa mzunguko wa pili wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa kati ya yao na Chelsea mchezo uliochezwa jana, kwenye Uwanja wa Nou Camp Barcelona. Baada ya timu hizo kutoka droo ya 2-2 Chelsea imeibuka kidedea kuendelea na fainali hizo ikiwa na jumla ya mabao 3-2 dhidi ya Barcelona.
IAEA yajionea mageuzi ya utoaji huduma katika Taasisi ya Ocean Road
-
Mkurugenzi Mkuu wa Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Najat Kassim
Mohammed akizungumza kuhusiana na ujio wa IAEA katika Taasisi ya Ocean Road
kuanga...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment