Mshambiliaji wa timu ya Barcelona Fc, Lionel Messi, akipiga Penati wakati wa mchezo wa mzunguko wa pili wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa kati ya yao na Chelsea mchezo uliochezwa jana, kwenye Uwanja wa Nou Camp Barcelona. Baada ya timu hizo kutoka droo ya 2-2 Chelsea imeibuka kidedea kuendelea na fainali hizo ikiwa na jumla ya mabao 3-2 dhidi ya Barcelona.
MAVUNDE AIAGIZA TUME YA MADINI KUWASILISHA ORODHA YA WAZALISHAJI WA MADINI
ILI KUWAKUTANISHA NA BENKI RAFIKI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma.
SERIKALI imeiagiza Tume ya Madini kuwasilisha orodha ya wazalishaji wote
waliopo nchini ili iweze kuwasaidia kuwakuta...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment