Mshambiliaji wa timu ya Barcelona Fc, Lionel Messi, akipiga Penati wakati wa mchezo wa mzunguko wa pili wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa kati ya yao na Chelsea mchezo uliochezwa jana, kwenye Uwanja wa Nou Camp Barcelona. Baada ya timu hizo kutoka droo ya 2-2 Chelsea imeibuka kidedea kuendelea na fainali hizo ikiwa na jumla ya mabao 3-2 dhidi ya Barcelona.
NSSF: Wananchi Waliojiajiri Jiungeni, Jiwekeeni Akiba kwa Kesho Yenye
Uhakika
-
Dar es Salaam, Julai 10, 2026
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri
nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo il...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment