Bondia Tomasi Mashari (kushoto) na Selemani Galile wakiwa na mkanda wao wa ubingwa watakaopigania katika pambano lao litakalofanyika kesho, wakati wa utambulisho wa mkanda huo uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Promota wa mpambano huo Prospa Rweimamu. Picha na Super D
JAMHURI NA PLATO: Zawadi ya Mwalimu Nyerere kwa Taifa inayostahili kusomwa
-
Wiki hii, taswira ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete, akipokea nakala ya kitabu "Jamhuri na Plato" kutoka kwa Bw. Walter
Bgoya ...
9 minutes ago

No comments:
Post a Comment