Mabondia wa kike Mwajuma Ndala Ndefu (kushoto) akipokea konde zito kutoka kwa Asha Ngedele, wakati wa pambano lao la utangulizi la Raundi 4, lililomalizika hivi punde. Katika pambano hilo, Asha Ngedele ameshinda kwa Pointi.
DKT.BITEKO - VYOMBO VYA HABARI VIWE WALINZI WA AMANI UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ametoa wito kwa
vyombo vya habari na waandishi nchini kote kuhakik...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment