Mabondia wa kike Mwajuma Ndala Ndefu (kushoto) akipokea konde zito kutoka kwa Asha Ngedele, wakati wa pambano lao la utangulizi la Raundi 4, lililomalizika hivi punde. Katika pambano hilo, Asha Ngedele ameshinda kwa Pointi.
WAZIRI BASHE ABAINISHA MIKAKATI YA SERIKALI KUONGEZA UZALISHAJI ZAO LA
MKONGE
-
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amebainisha mikakati ya serikali
katika kuongeza uzalishaji wa zao la Mkonge kutoka tani 56,732.69 mwaka
2023/2024 had...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment