Mabondia wa kike Mwajuma Ndala Ndefu (kushoto) akipokea konde zito kutoka kwa Asha Ngedele, wakati wa pambano lao la utangulizi la Raundi 4, lililomalizika hivi punde. Katika pambano hilo, Asha Ngedele ameshinda kwa Pointi.
DK SAMIA:TUTAIMARISHA UKUSANYAJI MAPATO KUEPUKA MIKOPO NA MISAADA YA
MANYANYASO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kilimanjaro
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema katika miaka mitano ija...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment