Beki wa zamani wa Klabu ya Simba, aliyekuwa na ndoto lukuki ya siku moja kuvaa jezi ya rangi ya Njano na Kijani na kuichezea Klabu ya Yanga, Kelvin Yondan, (wa Pili kushoto), aliyesajiliwa hivi karibuni akishiriki na wachezaji wenzake wakati akikaribishwa na wachezaji hao alipofika kwa mara ya kwanza kushiriki mazoezi ya timu hiyo, leo yaliyofanyika Uwanja wa Kaunda Dar es Salaam.
NAIBU WAZIRI UMMY AKAGUA MAANDALIZI YA MASHUJAA
-
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy
Nderiananga amefanya ukaguzi wa maandalizi kuelekea kilele cha Maadhimisho
ya Siku ...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment