Beki wa zamani wa Klabu ya Simba, aliyekuwa na ndoto lukuki ya siku moja kuvaa jezi ya rangi ya Njano na Kijani na kuichezea Klabu ya Yanga, Kelvin Yondan, (wa Pili kushoto), aliyesajiliwa hivi karibuni akishiriki na wachezaji wenzake wakati akikaribishwa na wachezaji hao alipofika kwa mara ya kwanza kushiriki mazoezi ya timu hiyo, leo yaliyofanyika Uwanja wa Kaunda Dar es Salaam.
WACHAMBUZI WAHIMIZA MASLAHI YA TAIFA MJADALA WA RIPOTI YA TUME YA CHANDE
-
WATANZANIA wametakiwa kujadili kwa kuweka mbele maslahi ya taifa Ripoti ya
Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment