Beki wa zamani wa Klabu ya Simba, aliyekuwa na ndoto lukuki ya siku moja kuvaa jezi ya rangi ya Njano na Kijani na kuichezea Klabu ya Yanga, Kelvin Yondan, (wa Pili kushoto), aliyesajiliwa hivi karibuni akishiriki na wachezaji wenzake wakati akikaribishwa na wachezaji hao alipofika kwa mara ya kwanza kushiriki mazoezi ya timu hiyo, leo yaliyofanyika Uwanja wa Kaunda Dar es Salaam.
Wito Watolewa kwa Wanasiasa Kulinda Amani, Kuepuka Kauli za Uchochezi
-
Amani, utulivu na mshikamano wa kitaifa ni tunu muhimu zinazopaswa kulindwa
na kila Mtanzania, huku viongozi wa vyama vya siasa wakitakiwa kuwa mstari
wa...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment