Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, akipiga picha ya pamoja ya kumbukumbu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Terezya Huvisa (kushoto) Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa rais wa Zanzibar, Fatma Fereji (wa pili kushoto) wakati walipkuwana katika hafla ya chakula cha jioni, iliyoandaliwa na Rais wa Brazil, Dilma Rousseff, kwa viongozi waliohudhuria Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira Endelevu (Rio+20) uliomalizika mwishoni mwa wiki Jijini Rio de Jeneiro, nchini Brazil.
TRA IRINGA YATANGAZA WIKI YA SHUKRANI KWA MLIPAKODI NA MAADHIMISHO YA MIAKA
30 YA TRA
-
NA DENIS MLOWE - IRINGA
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa imezindua rasmi ratiba ya
matukio yatakayofanyika kuanzia Juni 22 hadi Juni 27, ...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment