Eneo la kupata moja baridi na moja moto, Nyama choma, Supu aina zote, vyakula vya kila aina, Chips na burudani ya muziki unaokurudisha enzi zile za kina naniliu. unaweza kupata kutoka eneo hili la Mdau Kajunason mzee wa Mtandao wa Kajunason Blogspot, lililopo eneo la Kinondoni Biafra Block 41.
KIKWETE AITAKA WHI KUBORESHA MFUMO WA KIDIJITALI KUVUTIA UWEKEZAJI MPANA
-
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwan Kikwete
ameitaka Watumishi Housing Investment (WHI) kuendeleza mfumo wa kidijitali
wa kis...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment