Eneo la kupata moja baridi na moja moto, Nyama choma, Supu aina zote, vyakula vya kila aina, Chips na burudani ya muziki unaokurudisha enzi zile za kina naniliu. unaweza kupata kutoka eneo hili la Mdau Kajunason mzee wa Mtandao wa Kajunason Blogspot, lililopo eneo la Kinondoni Biafra Block 41.
DET YAFANYA MKUTANO WA BIASHARA YA UTALII DAR ES salaam
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
IDARA ya Uchumi na Utalii ya Dubai (DET) imefanya mkutano wake wa kila
mwaka wa biashara ya utalii jijini Dar es Salaam, u...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment