Eneo la kupata moja baridi na moja moto, Nyama choma, Supu aina zote, vyakula vya kila aina, Chips na burudani ya muziki unaokurudisha enzi zile za kina naniliu. unaweza kupata kutoka eneo hili la Mdau Kajunason mzee wa Mtandao wa Kajunason Blogspot, lililopo eneo la Kinondoni Biafra Block 41.
RASMI ALLAN OKELLO NI MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC
-
KLABU ya Yanga SC imemtambulisha winga wa Kimataifa wa Allan Okello (21)
kuwa mchezaji wake mpya akijiunga na Wana Jangwani hao kutoka Vipers FC ya
kwao.
3 hours ago

No comments:
Post a Comment