Eneo la kupata moja baridi na moja moto, Nyama choma, Supu aina zote, vyakula vya kila aina, Chips na burudani ya muziki unaokurudisha enzi zile za kina naniliu. unaweza kupata kutoka eneo hili la Mdau Kajunason mzee wa Mtandao wa Kajunason Blogspot, lililopo eneo la Kinondoni Biafra Block 41.
YANGA SC YAICHAPA AZAM FC 2-1 NA KUTINGA FAINALI MUUNGANO CUP
-
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la
Muungano baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC usiku hui Uwanja wa
New Amaan...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment