Eneo la kupata moja baridi na moja moto, Nyama choma, Supu aina zote, vyakula vya kila aina, Chips na burudani ya muziki unaokurudisha enzi zile za kina naniliu. unaweza kupata kutoka eneo hili la Mdau Kajunason mzee wa Mtandao wa Kajunason Blogspot, lililopo eneo la Kinondoni Biafra Block 41.
WASIRA ASISITIZA UMUHIMU WA KUTII KATIBA NA SHERIA ILI KUEPUKA VURUGU
-
Na Said Mwishehe,Ukerewe
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema
ni muhimu kuheshimi utawala bora kwa kutii Katiba na S...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment