Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Saidi Mecky Sadik leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, alipowasili akitokea mkoani Dodoma katika ziara ya kikazi. PICHA NA IKULU
BARAZA LA MASOKO YA MITAJI LASISITIZA WATANZANIA KUENDELEA KUPATA ELIMU YA
FEDHA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog
BARAZA la Masoko ya Mitaji (CMT) ambayo ni taasisi ya haki ya madai kwenye
mfumo wa kifedha nchini Tanzania limetoa rai kwa ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment