Wananchi wakiangalia ajali ya pikipiki iliyotokea Barabara ya Nyerere eneo la Njia panda ya Vingunguti jana, ambapo ilielezwa kuwa dereva wa pikipiki hiyo aliumia vibaya na kukimbizwa hospitali. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo iliyofanya pikipiki kubondeka na kuwa kama chapati kuanzia mbele hadi tenki la mafuta na kubaki tairi la nyuma pekee.
Kimataifa : Hotuba ya Rais Samia Urusi ni Ushindi wa Kiuchumi, Kijamii na
Kidiplomasia
-
Na Beda Msimbe, TBN, aliyekuwa Urusi
IJUMAA, Juni 5, 2026, ilikuwa siku ya kihistoria na ya kipekee wakati Rais
wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ...
36 minutes ago

No comments:
Post a Comment