Wananchi wakiangalia ajali ya pikipiki iliyotokea Barabara ya Nyerere eneo la Njia panda ya Vingunguti jana, ambapo ilielezwa kuwa dereva wa pikipiki hiyo aliumia vibaya na kukimbizwa hospitali. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo iliyofanya pikipiki kubondeka na kuwa kama chapati kuanzia mbele hadi tenki la mafuta na kubaki tairi la nyuma pekee.
RC Queen Sendiga asogeza haki kwa wananchi, azindua kliniki za sheria bure
Manyara
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amezindua rasmi kamati za
ushauri wa kisheria pamoja na kliniki za sheria b...
38 minutes ago

No comments:
Post a Comment