Baada ya kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Mkutano Mkuu Kata ya Kivukoni wilayani Temeke jijini Dar es Salaam uliofanyika leo katika viwanja vya Karimjee, Adriano Richard Haonga (kushoto) na Zulfikar Ali Mzige (pichani) wameibuka kidedea kwa kuchaguliwa kuwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya.
RC Queen Sendiga asogeza haki kwa wananchi, azindua kliniki za sheria bure
Manyara
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amezindua rasmi kamati za
ushauri wa kisheria pamoja na kliniki za sheria b...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment