Baada ya kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Mkutano Mkuu Kata ya Kivukoni wilayani Temeke jijini Dar es Salaam uliofanyika leo katika viwanja vya Karimjee, Adriano Richard Haonga (kushoto) na Zulfikar Ali Mzige (pichani) wameibuka kidedea kwa kuchaguliwa kuwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya.
TANZANIA, UTURUKI KUSHIRIKIANA MAENEO 9 YA KIMKAKATI
-
Moja ya matunda ya ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi ni
kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika maeneo tisa ya
kimkakat...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment