Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
TANZANIA NA UAE KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA UWEKEZAJI
-
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimeahidi kuimarisha zaidi
ushirikiano katika sekta mbalimbali za kiuchumi iki...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment