Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
MARIDHIANO: Msingi Mpya wa Ustawi na Umoja wa Kitaifa Tanzania
-
Katika kipindi ambacho dunia inakabiliwa na misukosuko ya kijamii na
kiuchumi, dhana ya maridhiano imetajwa kuwa rasilimali ya kimkakati
inayopaswa kupe...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment