Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliyemaliza muda wake, Asha-Rosre Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kushukuru baada ya kumaliza muda wake wa kazi katika Shirika hilo la Kimataifa UN.
NEWALA WAIPA KONGOLE REA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJINI
-
-Waeleza kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wake
-Wasema umeibua fursa lukuki
Wakazi wa vitongoji vya Chihanga, Mpilipili, Mkwedu na Majengo Wilayani
Newa...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment