Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mkuu wa mkoa wa Moropgoro, Joel Bendera (kulia) wakishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa mbunge wa zamani wa jimbo la Kilosa na Mwenyekiti wa mkoa huo, Alhaji Abdallah Shaweji, wakati wa mazishi yaliyofanyika leo, Wami Dakawa, wilayani Mvomelo, Morogoro. Alhaji Shaweji alifariki jana. Picha na Bashir Nkoromo.
NMB Bank Accelerates Agenda 2030 and Tanzania Development Vision 2050
Through Landmark TZS 224 Billion Geita Gold Mine Financing.
-
NMB Bank Plc has advanced its Medium-Term Plan 2026–2030, (Agenda 2030),
by committing approximately USD 100 million (TZS 224 billion) to a landmark
USD...
1 hour ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment