Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mkuu wa mkoa wa Moropgoro, Joel Bendera (kulia) wakishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa mbunge wa zamani wa jimbo la Kilosa na Mwenyekiti wa mkoa huo, Alhaji Abdallah Shaweji, wakati wa mazishi yaliyofanyika leo, Wami Dakawa, wilayani Mvomelo, Morogoro. Alhaji Shaweji alifariki jana. Picha na Bashir Nkoromo.
VODACOM TANZANIA PLC PAMOJA NA CHAMA CHA GOFU TANZANIA WAUNGANA ILI KUUNGA
MKONO MCHEZO WA GOFU NCHINI
-
Vodacom Tanzania Plc kwa kushirikiana na Chama cha Gofu Tanzania,
imejitokeza kama mdhamini mkuu wa mashindano ya Vodacom Tanzania Open,
yanayotarajia us...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment