Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mkuu wa mkoa wa Moropgoro, Joel Bendera (kulia) wakishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa mbunge wa zamani wa jimbo la Kilosa na Mwenyekiti wa mkoa huo, Alhaji Abdallah Shaweji, wakati wa mazishi yaliyofanyika leo, Wami Dakawa, wilayani Mvomelo, Morogoro. Alhaji Shaweji alifariki jana. Picha na Bashir Nkoromo.
Waziri Kombo Ashiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi Mauritius
-
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud
Thabit Kombo ameshiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi, unaofanyika
jijini ...
4 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment