Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mkuu wa mkoa wa Moropgoro, Joel Bendera (kulia) wakishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa mbunge wa zamani wa jimbo la Kilosa na Mwenyekiti wa mkoa huo, Alhaji Abdallah Shaweji, wakati wa mazishi yaliyofanyika leo, Wami Dakawa, wilayani Mvomelo, Morogoro. Alhaji Shaweji alifariki jana. Picha na Bashir Nkoromo.
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba,
ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia
hati ya kusa...
3 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment