Washiriki wa warsha ya wapiga picha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa EAC anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa Dkt. Julius Rotich (aliyeketi wa pili kushoto) jijini Arusha jana. Kushoto kwake ni Kaimu mkuu wa mpango wa EAC-GIZ (kulia) ni Mkuu wa Idara ya Habari EAC Owora Othieno. Kulia kabisa aliyesimama ni mratibu wa mafunzo wa EAC Sukhdev Chhatbar.
CATC yafungua Mafunzo ya Usimamizi wa Vihatarishi Anga kwa Niaba ya ICAO
Jijini Dar es Salaam
-
Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) kwa niaba ya Shirika la Kimataifa la
Usafiri wa Anga (ICAO) kimezindua rasmi mafunzo ya Vihatarishi katika
Usafiri wa Ang...
54 minutes ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment