Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Ali Mohamed Shein,akisalimianana Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa Benard Membe,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,kwa madhumuni ya kutoa mkono wa pole kwa Rais kutokana na Ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Seagul,na kusababisha wananchi kupoteza maisha. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
MARIDHIANO: Msingi Mpya wa Ustawi na Umoja wa Kitaifa Tanzania
-
Katika kipindi ambacho dunia inakabiliwa na misukosuko ya kijamii na
kiuchumi, dhana ya maridhiano imetajwa kuwa rasilimali ya kimkakati
inayopaswa kupe...
4 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment