Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Ali Mohamed Shein,akisalimianana Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa Benard Membe,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,kwa madhumuni ya kutoa mkono wa pole kwa Rais kutokana na Ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Seagul,na kusababisha wananchi kupoteza maisha. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
NEWALA WAIPA KONGOLE REA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJINI
-
-Waeleza kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wake
-Wasema umeibua fursa lukuki
Wakazi wa vitongoji vya Chihanga, Mpilipili, Mkwedu na Majengo Wilayani
Newa...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment