Ni kama kipindi cha wiki kadhaa sasa eneo hili limekuwa na Taa zinazoruhusu magari ya pande tatu tu huku upande wa taa zinazoruhusu magari yanayotoka Posta yaani yale yanayoelekea Airport hazionekani sasa haikuweza kufahamika kuwa zimeondolewa ama zimegongwa ama kimetokea nini hadi kutokuwepo kwa taa hizo kama ilivyozoeleka. Mogari yayotokea pande tatu za Karume, Keko na Airport yataongozwa na taa vipi yatokayo Posta?? Au hadi litokee la kutokea??
RAIS SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU YA HESHIMA RUDN, URUSI LEO
-
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Shahada ya Uzamivu ya Heshima (Honoris
Causa) aliyotunukiwa na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi- (RUD...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment