Ni kama kipindi cha wiki kadhaa sasa eneo hili limekuwa na Taa zinazoruhusu magari ya pande tatu tu huku upande wa taa zinazoruhusu magari yanayotoka Posta yaani yale yanayoelekea Airport hazionekani sasa haikuweza kufahamika kuwa zimeondolewa ama zimegongwa ama kimetokea nini hadi kutokuwepo kwa taa hizo kama ilivyozoeleka. Mogari yayotokea pande tatu za Karume, Keko na Airport yataongozwa na taa vipi yatokayo Posta?? Au hadi litokee la kutokea??
TANZANIA NA MAREKANI ZAJA NA MAPINDUZI MAKUBWA KWENYE SEKTA YA AFYA
-
Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani
(U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C., kutekeleza kwa mkakati
...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment