Ni kama kipindi cha wiki kadhaa sasa eneo hili limekuwa na Taa zinazoruhusu magari ya pande tatu tu huku upande wa taa zinazoruhusu magari yanayotoka Posta yaani yale yanayoelekea Airport hazionekani sasa haikuweza kufahamika kuwa zimeondolewa ama zimegongwa ama kimetokea nini hadi kutokuwepo kwa taa hizo kama ilivyozoeleka. Mogari yayotokea pande tatu za Karume, Keko na Airport yataongozwa na taa vipi yatokayo Posta?? Au hadi litokee la kutokea??
SHEIKH MKUU WA TANZANIA AWAHAMASISHA WANAWAKE KUMILIKI ARDHI BAADA YA
KUPATA HATI SAMIA ARDHI KLINIKI
-
Dar es salaam – 05/03/2026
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ametoa wito kwa
Watanzania kujitokeza kwa wingi kutumia fursa ya huduma za ...
21 minutes ago

No comments:
Post a Comment