Ni kama kipindi cha wiki kadhaa sasa eneo hili limekuwa na Taa zinazoruhusu magari ya pande tatu tu huku upande wa taa zinazoruhusu magari yanayotoka Posta yaani yale yanayoelekea Airport hazionekani sasa haikuweza kufahamika kuwa zimeondolewa ama zimegongwa ama kimetokea nini hadi kutokuwepo kwa taa hizo kama ilivyozoeleka. Mogari yayotokea pande tatu za Karume, Keko na Airport yataongozwa na taa vipi yatokayo Posta?? Au hadi litokee la kutokea??
WALIPAKODI DODOMA WACHANGAMKIA HUDUMA ZA OFISI INAYOTEMBEA YA TRA.
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeendelea kusogeza huduma
zake karibu na wananchi kupitia Ofisi Inayotembea, hatua inayolenga
kurahisish...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment