Ni kama kipindi cha wiki kadhaa sasa eneo hili limekuwa na Taa zinazoruhusu magari ya pande tatu tu huku upande wa taa zinazoruhusu magari yanayotoka Posta yaani yale yanayoelekea Airport hazionekani sasa haikuweza kufahamika kuwa zimeondolewa ama zimegongwa ama kimetokea nini hadi kutokuwepo kwa taa hizo kama ilivyozoeleka. Mogari yayotokea pande tatu za Karume, Keko na Airport yataongozwa na taa vipi yatokayo Posta?? Au hadi litokee la kutokea??
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment