Ni kama kipindi cha wiki kadhaa sasa eneo hili limekuwa na Taa zinazoruhusu magari ya pande tatu tu huku upande wa taa zinazoruhusu magari yanayotoka Posta yaani yale yanayoelekea Airport hazionekani sasa haikuweza kufahamika kuwa zimeondolewa ama zimegongwa ama kimetokea nini hadi kutokuwepo kwa taa hizo kama ilivyozoeleka. Mogari yayotokea pande tatu za Karume, Keko na Airport yataongozwa na taa vipi yatokayo Posta?? Au hadi litokee la kutokea??
KAILIMA AFUNGA KIKAO CHA UPANGAJI WA RATIBA YA KAMPENI ZA WAGOMBEA URAIS
-
*Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu
Kailima R.K, amefunga kikao cha siku mbili cha Tume na Vyama vya Siasa 18
vyeny...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment