Katapila linalofanya kazi ya kuchimba katikati ya barabara ya Morogoro eneo la Mbezi Mwisho, likiwa limeanguka katikati ya mtaro huo linaouchimba leo mchana. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo.
Rais Samia: Vijana Ndio Injini ya Serikali, Hatma ya Tanzania Ipo Mikononi
Mwenu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
vijana ndio nguzo kuu ya uendeshaji wa Seri...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment