Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Moahmed Shein, akijiandikisha na familia yake kwa Karani, Asia Hassan Mussa,(kushoto) katika zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi, lililoanza leo nchini kote,Rais akiwa katika Shehia ya Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,(kulia ) Mke wa Rais Mama Mwanamwema Shein. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD Wahitimishwa Jijini
Yokohama
-
Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu
Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development)
umehi...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment