Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Moahmed Shein, akijiandikisha na familia yake kwa Karani, Asia Hassan Mussa,(kushoto) katika zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi, lililoanza leo nchini kote,Rais akiwa katika Shehia ya Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,(kulia ) Mke wa Rais Mama Mwanamwema Shein. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
Wakulima Songwe ‘Walia’ Makato Huduma za Kibenki, Waitaja ‘NBC Shambani’
kama Suluhisho
-
DC, Wakulima Waomba Tawi Jipya la NBC Mlowo
Songwe, Aprili 29, 2026 — Wakulima wa Mkoa wa Songwe wametaja gharama za
uendeshaji wa akaunti na kufungwa kwa ...
55 minutes ago

No comments:
Post a Comment