Mshambuliaji wa timu ya Jamhuri ya Pemba, Mohamed Ally (kulia) akimtoka beki wa Simba, Hassan Khatib, wakati wa mchezo wa Super 8 uliochezwa kwenye Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, leo. Timu hizo zilitoka sare ya kufungana bao 1-1.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMJULIA HALI MZEE YUSUPH MAKAMBA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt.
Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Katibu Mkuu Mstaafu wa
Chama Cha Ma...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment