Mshambuliaji wa timu ya Jamhuri ya Pemba, Mohamed Ally (kulia) akimtoka beki wa Simba, Hassan Khatib, wakati wa mchezo wa Super 8 uliochezwa kwenye Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, leo. Timu hizo zilitoka sare ya kufungana bao 1-1.
Biashara : EAC Kuendelea kuimarisha Mfumo wa Kurahisisha Biashara za
Mipakani
-
Na Oscar Assenga,MKINGA
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeeleza itaendelea kuimarisha
utekelezaji wa Mfumo Rahisi wa Biashara (Simplified Trade Regim...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment