Mshambuliaji wa timu ya Jamhuri ya Pemba, Mohamed Ally (kulia) akimtoka beki wa Simba, Hassan Khatib, wakati wa mchezo wa Super 8 uliochezwa kwenye Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, leo. Timu hizo zilitoka sare ya kufungana bao 1-1.
Bank of Africa Tanzania Yatoa Mafunzo ya Fedha kwa Wajasiriamali Dodoma
-
Bank of Africa Tanzania imeandaa warsha kwa ajili ya wajasiriamali iitwayo
SME Clinic ambayo inalenga kutoa elimu ya masuala ya fedha ili kusaidia
ukuaji...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment