Mabondia wa uzito wa juu, David Michael Mlope 'Zola D – King' (kushoto) akitunishiana msuli na Alpjonce Joseph 'Mchumiatumbo' wakati wa wakipima uzito kwa ajili ya pambano lao litakalofanyika kesho siku ya idi pili, katika Uwanja wa Chuo cha Bandari Temeke.picha Super D
Kaya 28 Babati Zalipwa Fidia ya Bilioni 2.9 Kwa Maendeleo ya Huduma za
Kijamii
-
Mkuu wa Mkoa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, akizungumza na wananchi wa
Maisaka kuhusu malipo ya fidia ya maeneo yao yaliyotwaliwa kwa matumizi ya
huduma za ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment