Mabondia wa uzito wa juu, David Michael Mlope 'Zola D – King' (kushoto) akitunishiana msuli na Alpjonce Joseph 'Mchumiatumbo' wakati wa wakipima uzito kwa ajili ya pambano lao litakalofanyika kesho siku ya idi pili, katika Uwanja wa Chuo cha Bandari Temeke.picha Super D
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment