Bondia Allan Kamote wa Tanga TANZANIA akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa 'World Boxing Forum International Lightweight title' baada ya kumchapa kwa TKO bondia Wellington Balakasi, wa MALAWI katika pambano lililofanyika katika ukumbi wa Robins Park, Blantyre, Malawi, mwishoni mwa wiki iliyopita. |
UDOM YAKUTANA NA WADAU KUCHAMBUA NAFASI YA AKILI UNDE KATIKA UTAWALA BORA
-
*Na Mwandishi Wetu, Dodoma*
*Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa teknolojia na
wataalamu wa utawala wamekutana leo Jijini Dodom...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment