| Bondia Allan Kamote wa Tanga TANZANIA akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa 'World Boxing Forum International Lightweight title' baada ya kumchapa kwa TKO bondia Wellington Balakasi, wa MALAWI katika pambano lililofanyika katika ukumbi wa Robins Park, Blantyre, Malawi, mwishoni mwa wiki iliyopita. |
Kimataifa : Rais Samia Aondoka Kuelekea Urusi kwa Ziara ya Kitaifa
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nye...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment