| Bondia Allan Kamote wa Tanga TANZANIA akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa 'World Boxing Forum International Lightweight title' baada ya kumchapa kwa TKO bondia Wellington Balakasi, wa MALAWI katika pambano lililofanyika katika ukumbi wa Robins Park, Blantyre, Malawi, mwishoni mwa wiki iliyopita. |
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
4 days ago
No comments:
Post a Comment