| Bondia Allan Kamote wa Tanga TANZANIA akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa 'World Boxing Forum International Lightweight title' baada ya kumchapa kwa TKO bondia Wellington Balakasi, wa MALAWI katika pambano lililofanyika katika ukumbi wa Robins Park, Blantyre, Malawi, mwishoni mwa wiki iliyopita. |
BAFANA BAFANA YAANZA VYEMA AFCON, YAICHAPA ANGOLA 2-1
-
TIMU ya Afrika Kusini imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya jirani zao,
Angola katika mchezo wa Kundi B Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika
(AFCON)...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment