Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
WAHITIMU MAFUNZO YA MFUMO STAKABADHI GHALA WATAKIWA KUONGEZA UWAZI NA UBORA
KATIKA UTENDAJI KAZI WAO
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi
wa Stakabadhi za Ghala,Godwin Mkanwa,akikabidhi Cheti Mhitimu wa mafunzo ya
...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment