Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Dkt.Ad Koekkoek, wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kusalimiana na Rais.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
AG JOHARI, SACP RWAMBOW, MAKAMPUNI YA ULINZI WAZUNGUMZA VURUGU ZA UCHAGUZI
-
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na
baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, jana Januari 15, 2026,
iliendelea ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment