Taasisi ya Lions Club ya jijini Dar es Salaam inaendesha zoezi la kukusanya michango ya fedha kwa ajili ya kuwasaidia watoto wasio na uwezo wenye matatizo ya moyo kupata matibabu. Unaweza kutoa mchango wako hata kwa njia ya hundi kuiongezea nguvu Lions Club. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na Rais wa Lions Club Nimira Gangji kwa nambari +255715979966.
JUBILEE HEALTH INSURANCE YAPELEKA ELIMU YA AFYA YA AKILI KWA WANAFUNZI
SEKONDARI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUBILEE Health Insurance imetoa elimu kuhusu afya ya akili kwa wanafunzi wa
Shule ya Sekondari Mzizima jijini Dar es Salaam len...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment