Habari za Punde

*MKUTANO MKUU WA CCM, MJINI DODOMA LEO

 Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, akisoma Taarifa ya Chama kwenye mkutano mkuu wa CCM, Kizota, Dodoma, leo, 
 Waasisi wa Tanu na baadaye CCM, Mwadawa Ali (85) na Mohammed Makber (72) wakisoma gazeti ya UHURU la Chama Cha Mapinduzi, kabla ya mkutano kuanza. leo. 
Khadija Kopa (kushoto) akiimba wakati TOT ilipotumbuiza kwenye mkutano huo.Picha na Bashir Nkoromo

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.