Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Uganda Nchini Tanzania, Bw.Ibrahim Mukiibi,alipofika leo kumuaga Rais Ikulu Mjini Zanzibar. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
UNDP Yazindua Awamu ya Tatu ya Ufadhili kwa Wanawake Katika Uhandisi wa
Nishati
-
AWAMU ya tatu ya programu ya ufadhili wa masomo ngazi ya shahada ya uzamili
katika uhandisi wa nishati imezinduliwa huku ikitarajiwa kutoa ufadhili kwa
wan...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment