Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Uganda Nchini Tanzania, Bw.Ibrahim Mukiibi,alipofika leo kumuaga Rais Ikulu Mjini Zanzibar. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
RC Sendiga aanza ziara ya Kata kwa Kata Hanang', akagua miradi na kutatua
kero za Wananchi
-
*Na Ruth Kyelula, Manyara*
*Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, ameanza ziara maalumu ya
ukaguzi wa miradi na kusikiliza kero za wananchi kati...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment