Mtandao huu wa www.sufianimafoto.blogspot.com, unawatakiwa heri na fanaka wadau na wasomaji wote wa mtandao huu, mungu awabariki wote na hongereni kwa kuumaliza mwaka 2012 kwa mafanikio na kuupokea mwaka 2013. Mtandao huu unawatakia heri mwaka huu uwe ni wa mafanikio na faraja kwenu ili kuweza kutimiza ndoto zenu na malengo yenu katika maisha. HAPPY NEW YEAR
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
4 days ago

No comments:
Post a Comment