Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsalimia, Hamid Ameir Ali, ambaye ni Waziri Mstaafu na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakati alipofika kumjulia hali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja mjni Zanzibar jana Desemba 20, 2012, alikolazwa kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya malaria na Kifua.
HANDENI MJI YAFANYA BONANZA LA MICHEZO KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA
KUPIGA KURA OKTOBA 29
-
HANDENI TC
Halmashauri ya Mji wa Handeni imefanya bonanza kubwa la michezo lililolenga
kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchag...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment