Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsalimia, Hamid Ameir Ali, ambaye ni Waziri Mstaafu na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakati alipofika kumjulia hali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja mjni Zanzibar jana Desemba 20, 2012, alikolazwa kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya malaria na Kifua.
Maadili, Uzalendo na Maendeleo ya Taifa
-
Serikali imesisitiza kuwa maendeleo ya kweli na ya kudumu ya Taifa
yanategemea kwa kiasi kikubwa ujenzi wa wananchi wenye maadili, uzalendo,
uwajibikaji...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment