Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsalimia, Hamid Ameir Ali, ambaye ni Waziri Mstaafu na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakati alipofika kumjulia hali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja mjni Zanzibar jana Desemba 20, 2012, alikolazwa kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya malaria na Kifua.
Latricia Ian Ndiye Malkia wa Tanzania 2026
-
Latricia Ian ameibuka mshindi wa *Miss World Tanzania 2026* akibeba
mchanganyiko wa adabu, akili iliyopevuka, na kiu ya dhati ya kuacha alama
kwenye ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment