Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsalimia, Hamid Ameir Ali, ambaye ni Waziri Mstaafu na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakati alipofika kumjulia hali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja mjni Zanzibar jana Desemba 20, 2012, alikolazwa kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya malaria na Kifua.
TANAPA, WADAU WA UTALII WASUKA MIKAKATI KABAMBE KUELEKEA MSIMU MPYA WA
UTALII
-
Na. Calvin Katera - Babati.
Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imekutana na wadau wa utalii na uhifadhi
ili kusuka mikakati itakayochagiza ongezeko la wa...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment