Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsalimia Padri Ambrose Mkenda, wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mpendae Zanzibar, leo Desemba 30, 2012 aliyelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kutokana na majeraha aliyoyapata kwa kujeruhiwa na risasi na watu wasiojulikana wakati akiwa getini akisubiri kuingia nyumbani kwake mjini Zanzibar hivi karibuni. Kulia ni Muuguzi mwangalizi wa mgonjwa huyo, Namsifu Fue.
WATU WANNE MBARONI KWA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA IFM
-
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa wanne
wanaohusishwa na tukio la mauaji ya James Rogers Temba, aliyekuwa
mwanafun...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment