Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi mabweni ya Wasichana katika shule ya sekondari ya Nachingwea leo.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila,Mkuu wa Shule ya Wasichana Lindi Bi.Rahma Zedi (Wapili kushoto),Mkurugenzi wa wilaya ya Nachingwea,Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Bibi.Regina Chonjo na Mbunge wa Jimbo Nachingwea Bwana Mathias Chikawe.Picha na Freddy Maro
Vijana tusihukumu tupambane kwani Utajiri si Miliki ya Vitu, ni Miliki ya
Akili
-
Katika ulimwengu wa leo wa Snapchat na Instagram, ambapo kila mtu anajaribu
kuonekana ana mafanikio kwa kumiliki iPhone ya hivi karibuni au kupiga
pic...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment