Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji Wananchi, Kiuchumu
na Ushirika,katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo katika
Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar. Picha na
Ramadhan Othman,IKULU.
Gamondi Akabidhiwa Rasmi 'Taifa Stars' Miaka Miwili
-
Zama mpya zimeanza rasmi ndani ya kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania
'Taifa Stars' baada ya kocha Miguel Gamondi kusaini mkataba wa miaka miwili
kuino...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment