Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi, Makaazi,Maji na Nishati,katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar leo,(kushoto) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif. Picha na Ramadhan Othman,IKULU.
DC MSANDO AAGIZA KUFUFULIWA VISIMA VINNE MBURAHATI, HUDUMA YA MAJI KUREJEA
-
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na
kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo
huku akito...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment